GT Bible Studies    

    Swahili    


Navigation Glad Tidings Bible Studies in Swahili

6. ISHARA ZA YONA: MUNGU ALIMTUMA MWANAE



Math.12:38-41 na 16:1-4
YALIYOMO YA MSINGI: Kastika lugha ya Biblia ishara inaweza kumaanisha mambo mawili: a) Kitu ambacho kinaendana na agano na kutibithisha kuwa mtu fulani au kundi la watu fulani ni wa upande wa Mnug (Sabato, Kutahiliwa, ubatiso). Au inaweza kumaanisha b) muujiza ambayo kwayo Mungu anaonyesha nguvu zake na muujiza ili watu waonen.
  • Kama kuna kipindi Fulani katika maisha yako ambaco ulitaka upate ishara kutoka kwa Mungu, ni kipindi gani?
  • Sema kwa maneno yako: Yesus anajaribu kusema nini kwa Mafarisayo kwa hotuba hizi mbili ndogo?
    Kizazi kilicholaaniwa na chenye usinzi
  • Je Yesu maoni ya Yesu juu ya ukweli wa uamshoa wa Ninawi (41)?
  • Linganisha hatua za watu wa Ninawi kwa kwa mahubiri ya Yona na Mafarisayo juu ya mahubiri ya Yesu. Mbona ni tofauti?
  • Kwa nini unafikiri hisia zetu katika nchi yetu kwa mafundisho ya Yesu ni kam hisia za Mafarisayo na si kama watu wa Ninawi?
  • Mafarisayo walikuwa wameona miujiza mingi ambayo Yesus alitenda. Kwa nini walitaka kuona ishara moja zaidi (12:38 na16:1)?
  • Ni ishara gani pengine inagalitibithisha kuwa Yesu ni mwana wa Mungu?
  • Kwa nini hata ufufuo wa Yesu hakuwazawishi Mafarisayo kuwa Yesu ni mwana wa Mungu?
  • Kwa nini Yesu anajiita kuwa mwenyewe "Kitu kiubwa kuliko Yona"?
    Ishara
  • Ni katika hali gani watu siku hizi utaka ishara, na ni ishara za namna gani wanadai na ni kutoka kwa nani?
  • Ni kwa nini ni hatari wakati mwingine kufanya maamuzi katika mambo makubwa kwa hali ya ishara?
  • Kuna tofauti gani katik ya "ishara ya Yona" na siahra ambazo watu wanataka kupata ili kuimsrisha Imani yao?
  • Je ni kwa njia ipi "ishara ya Yona" ina huruma za Mungu?
  • Je wenzetu wanwezaje kukutana na "ishara ya Yona"?
  • Ni kwa njia ipi ishara ya Yona kwa watu wa Ninawi ina uwepo wa Munug katika mji wao?
  • Ni kwa njia gani Safari ya Yona katika sakafu ya bahari ni mfano wa ubatiso wa Kikristo. Tazama pia Warumi 6:3-5?
  • Ni katika misingi gani tunaweza kuita meza ya Bwana kuwa "Ishara ya Yona""?
  • Kwa mara nyingine: kwa nini Biblia, ubatiso na Meza ya Bwana ni "Ishara ya Yona"?
  • Kwa nini hatuitaji ishara zingine kwa kuimarisha Imani yetu ila "Ishara ya Yona" (16:4)?
  • Kwa nini hukumu ya watu wa Magharibi itakuwa kali kuliko ile ya nchi za wapagani?
  • Tunawezajew kuzaidia kupeleka ishara ya Yona kwa watu wengine iwezavyo hapa ulimwenguni?

    INJILI: Ubatiso wa Kikristo unaambatanisha kifo na kufufuka kwa Yesu (Warumi.6:3-5). Meza ya Bwana inaambatanisha pia. Kifo na kufufufka kwa Yes undo vichwa vikuu katika Biblia nzima. Kama uliuliza kuwa ni jinsi gani utafahamu kuwa Yesu ni Mungu, jibu ni : Tazma ishara ya Yona. Ukiluliza jinsi utakavyofahamu kuwa Yesu anapenda watu wote, jibu ni: tazama ishara ya Yona. Hii ndio maana ishara hii moja inakutosha maishani mwako na hata bila ishara zingine.

    ***

    Version for printing    
    Downloads    
    Contact us    
    Webmaster